forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
897 B
Markdown
44 lines
897 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwelekeza Musa wapi pa kwenda na nini Yahweh atafanya.
|
||
|
|
||
|
# Nitaufanya moyo wa Farao mgumu
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabai yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ni mgumu.
|
||
|
|
||
|
# yeye ata wakimbiza
|
||
|
|
||
|
"Farao ata wakimbiza Waisraeli"
|
||
|
|
||
|
# Nitapata utukufu
|
||
|
|
||
|
"Watu watani heshimu"
|
||
|
|
||
|
# Wamisri watajua mimi ni Yahweh
|
||
|
|
||
|
"Wamisri wataelewa kwamba mimi ni Yahweh, Mungu mmoja wa kweli"
|
||
|
|
||
|
# Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# Mfalme wa Misri alipo ambiwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# Mfalme wa Misri
|
||
|
|
||
|
Hii ya husu Farao.
|
||
|
|
||
|
# wametoroka
|
||
|
|
||
|
"wamekimbia"
|
||
|
|
||
|
# , nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "nia" ya husu tabia zao kwa Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?
|
||
|
|
||
|
Waliuliza hili swali wakidhani kuwa wamefanya kitu cha kijinga.
|