forked from WA-Catalog/sw_tn
491 B
491 B
usiku wa manane
"katikati ya usiku"
wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri
Hapa "wazaliwa wa kwanza" mara zote ina maana ya mzao mkubwa wa kiume.
aliye keti kiti chake cha enzi
Hii ya husu Farao.
mzaliwa wa kwanza wa mtu aliye gerezani
Hii ya husu wafungwa, kwa ujumla, na sio mtu maalumu gerezani.
Palikuwa na kelele za maombolezo Misri
Hii yaweza andikwa katika tensi nenaji.
kwa kuwa hakukuwa na nyumba ambayo hamna mtu hakufa
Hii hasi mbili ina sisitiza chanya.