forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
411 B
Markdown
20 lines
411 B
Markdown
# Yahweh aliufanya moyo wa Farao mgumu
|
|
|
|
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabia yake ya kiburi inazungumzwa hapa kama moyo wake mgumu.
|
|
|
|
# hakuwaacha waende
|
|
|
|
"Farao hakuwaacha waende"
|
|
|
|
# Kuwa muangalifu na jambo moja
|
|
|
|
"Hakikisha jambo moja" au "Kuwa na uhakika kuhusu jambo moja"
|
|
|
|
# uona uso wangu
|
|
|
|
Hapa neno "uso" la husu mtu wote"
|
|
|
|
# Wewe mwenyewe umesema
|
|
|
|
Kwa haya maneno, Musa anakazia kuwa Farao amesema ukweli.
|