forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
316 B
Markdown
12 lines
316 B
Markdown
# Mungu wa Waebrania
|
|
|
|
Hili ni neno linalo tumika kwa ajili ya Mungu wa Waisraeli au Yahweh.
|
|
|
|
# au kwa upanga
|
|
|
|
Hapa "upanga" ya wakilisha vita au shambulizi la maadui.
|
|
|
|
# kwanini unachukuwa watu kutoka kazini kwao?
|
|
|
|
Farao anatumia swali hili kuonyesha hasira yake kwa Musa na Aruni kuwatoa Waisraeli kwenye kazi yao.
|