forked from WA-Catalog/sw_tn
316 B
316 B
Mungu wa Waebrania
Hili ni neno linalo tumika kwa ajili ya Mungu wa Waisraeli au Yahweh.
au kwa upanga
Hapa "upanga" ya wakilisha vita au shambulizi la maadui.
kwanini unachukuwa watu kutoka kazini kwao?
Farao anatumia swali hili kuonyesha hasira yake kwa Musa na Aruni kuwatoa Waisraeli kwenye kazi yao.