sw_tn/exo/03/01.md

320 B

malaika wa Yahweh

Huyu alikuwa Yahweh mwenyewe aliyekuwa anajitokeza kama malaika, na sio kama malaika Yahweh aliye mtuma.

Yahweh

Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale.

Tazama

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Musa aliona kitu kilicho kuwa cha tofauti na alicho tegemea.