forked from WA-Catalog/sw_tn
499 B
499 B
mvinyo ulikuwa umetengwa
"watumishi walikuwa wameleta mvinyo"
kochi
kipande kirefu cha samani ambapo mtu hukaa au kulala.
atamdharirisha malkia
Hii neno ni namna ya upole ya kuuliza kama atashika na kulala naye.
Atamdharirisha malkia mbele yangu katika nyumba yangu?
"Unajaribu kumdharirisha malkia wakati akiwa hapa nami katika ikulu yangu!"
watumishi wakamfunga Hamani uso
baadhi ya watumishi walifunga kichwa cha Hamani, kama walivyofanya watu walikuwa tayari kwa kutundikwa.