forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
499 B
Markdown
20 lines
499 B
Markdown
|
# mvinyo ulikuwa umetengwa
|
||
|
|
||
|
"watumishi walikuwa wameleta mvinyo"
|
||
|
|
||
|
# kochi
|
||
|
|
||
|
kipande kirefu cha samani ambapo mtu hukaa au kulala.
|
||
|
|
||
|
# atamdharirisha malkia
|
||
|
|
||
|
Hii neno ni namna ya upole ya kuuliza kama atashika na kulala naye.
|
||
|
|
||
|
# Atamdharirisha malkia mbele yangu katika nyumba yangu?
|
||
|
|
||
|
"Unajaribu kumdharirisha malkia wakati akiwa hapa nami katika ikulu yangu!"
|
||
|
|
||
|
# watumishi wakamfunga Hamani uso
|
||
|
|
||
|
baadhi ya watumishi walifunga kichwa cha Hamani, kama walivyofanya watu walikuwa tayari kwa kutundikwa.
|