sw_tn/est/03/01.md

261 B

Hamani mwana wa Hammedatha Mwagagi

Hili ni jina na wadhifu wa Hamani, mmoja wa wasimamizi wa mfalme.

aliweka kiti chake cha mamlaka

"alipandisha cheo"

walijinyenyekezea kwa Hamani

"Walijinyenyekeza na kulala kifudifudi juu ya ardhi mbele ya Hamani"