sw_tn/eph/06/17.md

621 B

Na mvae kofia ya wokovu

Wokovu uliopewa na Mungu unalinda mawazo ya muumini kama vile kofia inavyolinda kichwa cha askari.

na upanga wa Roho, ambayo ni neno la Mungu

Neno la Mungu, limevuviwa na Roho Mtakatifu, ili litumike kwa kupigana kinyume na kuwalinda waumini kutoka kwa mwovu kama vile askari anavyotumia upanga kupigana na kujilinda dhidi ya adui anayevamia.

pamoja na kusali na kuomba, ombeni kwa Roho

"Ombeni wajati wote katika Roho kama unavyoomba na ufanye maombezi maalumu"

kwa uvumilivu wote na maombi kwa ajili ya waumini wote

"Mara kwa mara tuwe macho kwa kuomba kwa ajili ya waumini wote"