forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
899 B
Markdown
24 lines
899 B
Markdown
# hatimaye simameni imara
|
|
|
|
maneno "simameni imara" ni lugha yenye maana ya "kuzuia vikali"
|
|
|
|
# mkanda wa kweli
|
|
|
|
kweli inashika kila kitu pamoja kwa ajili ya muumini kama mkanda unavyoshika nguo zote za askari pamoja.
|
|
|
|
# haki kifuani
|
|
|
|
Zawadi ya haki inafunika mioyo ya waumini kama kitu cha kulinda kifuaniani kwenye kifua cha Askari.
|
|
|
|
# mkiwa mmevaa utayari miguuni mwenu ili kutangaza injili ya ya Amani
|
|
|
|
Ni askari pekee anavaa ili kumpa maalifa ya kutembea, muumini anapaswa kuwa na maarifa imara ya injili ya amani ili kuwa tayari kuitangaza.
|
|
|
|
# kila hali mkichukua ngao ya Imani
|
|
|
|
Imani ambayo Mungu amempa muumini ni lazima itumike kwa ajili ya ulinzi wakati shetani anapovamia kama vile ngao ambayo askari anaitumia kujikinga kutoka katika uvamizi wa maadui.
|
|
|
|
# kuizima mishale ya mwovu Ibilisi
|
|
|
|
Uvamizi wa shetani katika kumvamia muumini ni kama mishale ya moto inayorushwa kwa askari na adui.
|