sw_tn/eph/06/10.md

538 B

sentensi unganishi

Paulo anatoa maelekezo kuwafanya waumini kuwa na nguvu katika hii vita tunaishi kwa ajili ya Bwana.

iweni na nguvu katika Bwana na katika uwezo wa nguvu zake

"Hii inategemea kikamilifu katika Bwana kuwapa nguvu ya ya Kiroho"

Vaeni silaha zote za Mungu zilizo kamili, ili kwamba mpate kusimama kinyume na hila za shetani

Wakristo wanapaswa kutumia raslimali zote ambazo Mungu amewapa ili kusimama kinyume na shetani kama vile maaskari wa wanavyoweka siraha za kujikinga mwenyewe kutoka kwa uvamizi wa maadui.