sw_tn/eph/03/20.md

316 B

kauli unganishi

Paulo anamalizia sala yake kwa baraka.

Maelezo ya ujumla:

maneno "sisi" na "sisi" katika kitabu hiki yanaendelea kuwahusisha Paul na waaminio wote.

Sasa kwake

"Sasa kwa Mungu, ambaye"

kila kitu mbali, mbali juu

Mungu anaweza kufanya zaidi kuliko tunayoweza milele kuomba au kufikiria.