sw_tn/eph/03/14.md

640 B

Kwa sababu hiyo

"Kwa sababu Mungu amefanya yote haya kwa ajili yenu"

Napiga magoti kwa Baba

"Nina inama chini kwa maombi kwa Baba" au "Mimi kwa unyenyekevu kumwomba Baba"

kwa kupitia kwake kila familia hapa duniani na minguni imetajwa

kitendo cha kumtaja hapa pengine pia inawakilisha kitendo cha kujenga: "aliyeumba na kutaja jina kila familia mbinguni na duniani"

Namwomba Mungu wewe

"kuwa angeweza kukupa"

kwamba akubariki, kutokana na utajiri wa baraka zake, akufanye imara kwa nguvu

"Mungu, kwa sababu yeye ni kubwa sana na myenye nguvu, anaweza kuruhusu wewe kuwa na nguvu kwa uwezo wake"

Awajalieni

"angetoa"