forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
747 B
Markdown
24 lines
747 B
Markdown
# viongozi na mamlaka yaliyopo mbinguni zitakuja kujulikana pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu
|
|
|
|
ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu - "Mungu atafanya hekima yake kubwa ijulikane kwa viongozi na mamlaka katika ulimwengu wa roho kupitia Kanisa "
|
|
|
|
# pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu
|
|
|
|
ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu - hekima ya Mungu tata
|
|
|
|
# watawala na mamlaka
|
|
|
|
Maneno haya yanashiriki maana sawa. Paulo anatumia yote pamoja na kusisitiza kwamba kila kiumbe cha kiroho watajua hekima ya Mungu.
|
|
|
|
# kulingana na mpango wa milele
|
|
|
|
"katika kutunza mpango wa milele" au "sambamba na mpango wa milele"
|
|
|
|
# katika Kristo Yesu Bwana wetu
|
|
|
|
Kwa njia ya Kristo
|
|
|
|
# katika ulimwengu wa roho
|
|
|
|
Kuona jinsi ya kutafsiriwa hii angalia 1:3
|