sw_tn/eph/03/10.md

747 B

viongozi na mamlaka yaliyopo mbinguni zitakuja kujulikana pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu

ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu - "Mungu atafanya hekima yake kubwa ijulikane kwa viongozi na mamlaka katika ulimwengu wa roho kupitia Kanisa "

pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu

ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu - hekima ya Mungu tata

watawala na mamlaka

Maneno haya yanashiriki maana sawa. Paulo anatumia yote pamoja na kusisitiza kwamba kila kiumbe cha kiroho watajua hekima ya Mungu.

kulingana na mpango wa milele

"katika kutunza mpango wa milele" au "sambamba na mpango wa milele"

katika Kristo Yesu Bwana wetu

Kwa njia ya Kristo

katika ulimwengu wa roho

Kuona jinsi ya kutafsiriwa hii angalia 1:3