forked from WA-Catalog/sw_tn
747 B
747 B
viongozi na mamlaka yaliyopo mbinguni zitakuja kujulikana pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu
ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu - "Mungu atafanya hekima yake kubwa ijulikane kwa viongozi na mamlaka katika ulimwengu wa roho kupitia Kanisa "
pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu
ilikuwa upande asili ya hekima ya Mungu - hekima ya Mungu tata
watawala na mamlaka
Maneno haya yanashiriki maana sawa. Paulo anatumia yote pamoja na kusisitiza kwamba kila kiumbe cha kiroho watajua hekima ya Mungu.
kulingana na mpango wa milele
"katika kutunza mpango wa milele" au "sambamba na mpango wa milele"
katika Kristo Yesu Bwana wetu
Kwa njia ya Kristo
katika ulimwengu wa roho
Kuona jinsi ya kutafsiriwa hii angalia 1:3