sw_tn/eph/03/08.md

1.2 KiB

Mungu amenipa zawadi hii japo kuwa mimi ni mtu mdogo kati ya wale wanaopata nafasi kwa Mungu

"Ingawa mimi ni mdogo anastahili watu wote wa Mungu, Mungu amenipa zawadi hii ya neema"

kuleta kila mtu katika mwanga na kuwaambia kuhusu mpango wa siri za Mungu

"kuwafanya watu wote kufahamu mpango wa Mungu"

kuwaambia kuhusu mpango wa siri wa Mungu kwamba Mungu (aliyeviumba vitu vyote) alikuwa amejificha kwa miaka katika siku za nyuma

"kitu ambacho Mungu alikificha kwa mda mrefu uliopita. Alipo umba kila kitu"

wale waliotengwa kwa Mungu

Hii inaweza semwa katika: "wale ambao Mungu amewatenga kwa ajili yake mwenyewe "

usiopimika

haiwezekani kujulikana kabisa

utajiri wa Kristo

Paulo anazungumzia ukweli kuhusu Kristo na baraka yeye huleta kana kwamba vilikuwa utajiri wa mali.

kuwaelimisha watu wote kuhusu mpango wa siri wa Mungu ni nini.

"angaza mwanga kwenye mpango wa Mungu ili watu wote wajue ni nini" au "kuwaambia watu wote ni nini mpango wa siri ya Mungu"

uliofichwa kwa miaka mingi kuanzia mwanzo Mungu alivyoumba kila kitu.

Hii inaweza semwa kama: "Kwamba Mungu, aliyeviumba vitu vyote, alikuwa ameficha kwa umri mrefu katika siku za nyuma"