forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
419 B
Markdown
16 lines
419 B
Markdown
# kauli unganishi
|
|
|
|
Kufanya wazi ukweli siri kuhusu kanisa kwa waumini, Paulo anataja nyuma umoja wa Wayahudi na Mataifa na hekalu la ambayo waumini sasa ni sehemu.
|
|
|
|
# Kwasababu ya hii
|
|
|
|
"Kwasababu ya neema ya Mungu kwako"
|
|
|
|
# mfungwa wa Kristo Yesu
|
|
|
|
"moja ambaye Kristo Yesu amemuweka katika gereza"
|
|
|
|
# usimamizi wa zawadi ya Mungu kwamba yeye alinipa kwa ajili yenu
|
|
|
|
"Wajibu Mungu alinipa kusimamia neema yake juu yenu"
|