sw_tn/eph/03/01.md

419 B

kauli unganishi

Kufanya wazi ukweli siri kuhusu kanisa kwa waumini, Paulo anataja nyuma umoja wa Wayahudi na Mataifa na hekalu la ambayo waumini sasa ni sehemu.

Kwasababu ya hii

"Kwasababu ya neema ya Mungu kwako"

mfungwa wa Kristo Yesu

"moja ambaye Kristo Yesu amemuweka katika gereza"

usimamizi wa zawadi ya Mungu kwamba yeye alinipa kwa ajili yenu

"Wajibu Mungu alinipa kusimamia neema yake juu yenu"