forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
1.5 KiB
Markdown
48 lines
1.5 KiB
Markdown
# Sasa katika Kristo Yesu
|
|
|
|
Paulo anawatofautisha Waefeso kabla ya kumwamini Kirsto na baada ya kumwamini Kristo
|
|
|
|
# ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu, mmeletwa karibu na Mungu
|
|
|
|
Kwa sababu ya dhambi za waamini, walikuwa wametengwa na Mungu. Hata hivyo, sasa Yesu amewaleta karibu na Mungu kwa damu yake.
|
|
|
|
# yeye ndiye amani yetu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "Yesu hutupa amani yake"
|
|
|
|
# Kwa mwili wake
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "Kwa kifo chake juu ya msalaba"
|
|
|
|
# ukuta wa utenganisho
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "ukuta wa chuki" au "nia mbaya"
|
|
|
|
# umetutenganisha
|
|
|
|
Herufi za kwanza "ume" zinaelezea kwamba huo ukuta uliwatenganisha wote Paulo na Waefeso, ambao uliwatenga waumini wa Kiyahudi kutoka kwa waumini wasiokuwa Wakiyahudi (wamataifa)
|
|
|
|
# aliiondoa sheria ya amri na kanuni
|
|
|
|
Damu ya Yesu ilileta utoshelevu wa sheria ya Musa ili kwamba wote Wayahudi na watu wa mataifa wanaweza kuishi kwa amani ndani ya Mungu.
|
|
|
|
# mtu mmoja mpya
|
|
|
|
Mtu mmoja mpya, mtu wa jamii ya watu waliokombolewa.
|
|
|
|
# ndani yake
|
|
|
|
Ni muunganiko na Yesu ambao unafanya upatanisho uwezekane kati ya Wayahudi na watu wa mataifa.
|
|
|
|
# kuwapatanisha watu wote
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kuwaleta pamoja wote wawili yaani Wayahudi na watu wa Mataifa (wamataifa)"
|
|
|
|
# kupitia msalaba...kwa njia ya msalaba
|
|
|
|
Hii ni kwamba, kwa njia ya Kifo cha Kristo juu ya msalaba.
|
|
|
|
# aliufisha (aliuua) uadui kwa msalaba
|
|
|
|
Yesu aliondoa kabisa sababu ambayo iliwafanya Wayahudi na watu wa mataifa kuwa maadui. Hawakuhitajika tena kuishi kulingana na sheria ya Musa.
|