sw_tn/eph/01/15.md

8 lines
256 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Paulo anaomba kwa ajili ya waamini wa Efeso na anamsifu Mungu kwa ajili ya nguvu waliyo nayo kupitia Kristo.
# Sijaacha kumsifu Mungu
Paulo anatumia "sijaacha" kusisitiza kuwa anaendelea kumsifu Mungu. "Naendelea kumshukuru Mungu"