sw_tn/ecc/08/14.md

353 B

Kuna mvuke mwingine usio faa

"kutokuwa na maana" au "ubatili". Vitu vinatokea ila havipaswi. Kama vile vitu vizuri kuwatokea watu waovu na vitu vibaya kuwatokea watu wema.

jambo jingine linaofanyika juu ya dunia

"kitu kingine ambacho watu wanafanya duniani"

kwa siku zote za maisha yake ambayo Mungu amempa

"kadri Mungu anavyomruhusu kuishi"