forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
446 B
Markdown
12 lines
446 B
Markdown
# watu wenye uvumilivu ni bora kuliko wenye majivuno rohoni
|
|
|
|
Hapo neno "rohoni" inamaanisha mwenedao wa mtu. "watu wenye subira ni bora kuliko watu wenye majivuno" au "tabia ya uvumilivu ni bora kuliko tabia ya majivuno"
|
|
|
|
# Usikasirike haraka rohoni mwako
|
|
|
|
"Usiwe mwepesi wa hasira" au "Usiwe na hasira kali"
|
|
|
|
# hasira hukaa katika mioyo ya wapumbavu
|
|
|
|
Hasira inalinganishwa na kitu kinachoishi ndani ya wapumbavu. "watu wapumbavu wamejaa hasira"
|