forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
566 B
Markdown
20 lines
566 B
Markdown
# kile ambacho macho hukiona
|
|
|
|
Mtu anaweza kuona vitu kwa sababu tayari anavyo. "kile ambacho mtu anacho"
|
|
|
|
# kutamani kile ambacho hamu isiyo tulia inatamani
|
|
|
|
Hii inamaanisha vitu ambavyo mtu anatamani ila hana. "kutamani kile ambacho hana"
|
|
|
|
# mvuke na kujaribu kuuchunga upepo
|
|
|
|
Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.
|
|
|
|
# Chochote ambacho kimekuwepo
|
|
|
|
"Watu tayari wameshavipatia majina vitu vilivyopo"
|
|
|
|
# vile mtu alivyo ni kama tayari amekwisha fahamika
|
|
|
|
"watu tayari wanajua vile binadamu alivyo"
|