forked from WA-Catalog/sw_tn
566 B
566 B
kile ambacho macho hukiona
Mtu anaweza kuona vitu kwa sababu tayari anavyo. "kile ambacho mtu anacho"
kutamani kile ambacho hamu isiyo tulia inatamani
Hii inamaanisha vitu ambavyo mtu anatamani ila hana. "kutamani kile ambacho hana"
mvuke na kujaribu kuuchunga upepo
Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.
Chochote ambacho kimekuwepo
"Watu tayari wameshavipatia majina vitu vilivyopo"
vile mtu alivyo ni kama tayari amekwisha fahamika
"watu tayari wanajua vile binadamu alivyo"