forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
399 B
Markdown
16 lines
399 B
Markdown
# Tazama
|
|
|
|
"kuwa makini" au "sikiliza"
|
|
|
|
# kile nilichokiona kuwa kizuri kufaaa
|
|
|
|
Hapa maneno "kizuri" na "kufaa" zinamaana moja. Ya pili inakazia maana ya ile ya kwanza. "kile nilichokiona kuwa bora zaidi kufanya."
|
|
|
|
# wakati wa siku za maisha haya ambayo Mungu ametupa
|
|
|
|
"kadri Mungu atakavyo turuhusu kuishi"
|
|
|
|
# wajibu wa mtu
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) "dhawabu ya mtu" au 2) "fungu la mtu maishani"
|