sw_tn/ecc/05/15.md

1.1 KiB

mtu azaliwavyo uchi ... ataondoka katika maisha haya akiwa uchi

Kwa kuongezea na kutokua na nguo, neno"uchi" hapa linasisitiza kuwa watu wanazaliwa bila kitu chochote. "mtu yu uchi na hamiliki kitu anapozaliwa ...ataondoka maisha haya kwa njia vivyo hivyo.

ataondoka katika maisha haya

"atakufa"

Hachukui chochote

"hachukui chochote mkononi mwake"

kama mtu alivyo kuja ni lazima aende vivyo hivyo

Hii inamaanisha kuzaliwa na kufa kwa mtu na inaashiria wazo sawa na mstari uliopita.

Hivyo ni faida gani mtu yeyote aipatayo katika kufanya kwa ajili ya upepo?

Mwandishi anatumia swali hili kusisitiza wazo lake kuwa hakuna faida kufanya kazi kwa ajili ya upepo. "Hakuna anayepata faida yoyote kwa kufanyia kazi upepo."

kufanya kwa ajili ya upepo

Maana zinazowezekana ni 1) "kujaribu kuushika upepo" au 2) "kufanyia kazi pumzi apumuayo"

Wakati wa siku zake anakula gizani

Hapa neno "giza" linamaanisha hali ya huzuni. Maana zinazowezekana ni 1) "Wakati wa maisha yake anakula kwa kuomboleza" au 2) "Maisha yake anaishi kwa kuomboleza"

na anafedheheshwa sana na magonjwa na hasira

"na kuteseka sana, kwa kuugua na hasira"