sw_tn/ecc/02/26.md

468 B

ili kwamba ampe mtu anayempendeza Mungu

Yule amabaye "ampaye" inaweza kumaashiria ni Mungu au mtenda dhambi. Kinachopewa ni kila ambacho mwenye dhambi amekusanya na kutunza. Tafsiri ifuatayo njia moja ya kusema hivi bila kuweka wazi ni nani anayegawa vitu vilivyotunzwa. "ili kwamba yule anayempendeza Mungu awe navyo"

mvuke na kujaribu kuuchunga upepo

Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.