sw_tn/ecc/02/17.md

8 lines
205 B
Markdown

# kazi zote zilizofanyika
"kazi zote ambazo watu hufanya"
# mvuke na kujaribu kuuchunga upepo
Mwalimu anasema kwamba vitu ambavyo watu hufanya ni kama kujaribu kuushika upepo au kuuzuia upepo kupuliza.