sw_tn/ecc/02/15.md

676 B

nikasema moyoni mwangu

"nikajiambia"

Hivyo kuna utofauti gani kama mimi ni mwenye hekima sana?

Mwandishi anatumia swali kusisitiza wazo lake kuwa hakuna faida ya kuwa na hekima. "Kwa hivyo haina tofauti kama nina hekima sana."

Nikahitimisha moyoni mwangu

"nikahitimisha"

mvuke

"umande" au "pumzi." Haidumu. "cha muda" au "haina maana." Kile ambacho watu wanafanya ni kama umande kwa sababu hakidumu na hakina maana.

mwenye hekima, kama mpumbavu, hakumbukwi kwa muda mrefu

"watu hawatamkumbuka mwenye hekima kwa muda mrefu, kama tu ambavyo hawamkumbuki mpumbavu kwa muda mrefu"

kila kitu kitakuwa kimesahauliwa

"watu watakuwa wamekishwa sahau kila kitu"