forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
827 B
Markdown
20 lines
827 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anazungumza na uzao wa Naftali kana kwamba wao ni mtu mmoja.
|
|
|
|
# aliyeridhika na fadhila
|
|
|
|
Yahwe kufurahishwa na Naftali inazungumziwa kama "fadhila" ilikuwa chakula ambacho Naftali alikuwa hadi akawa hana njaa tena. "ambaye ana mambo yote mazuri anayotamani kwa sababu Yahwe amefurahishwa naye"
|
|
|
|
# kujaa kwa baraka za Yahwe
|
|
|
|
Baraka zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa chakula ambacho Naftali alikula mpaka hakuhitaji tena. "ambaye Yahwe alimbariki ili kwamba akawa na kila kitu anachohitaji"
|
|
|
|
# miliki
|
|
|
|
Musa anazungumza kana kwamba kabila la Naftali ni mtu mmoja, kwa hiyo maneno haya ni katika umoja.
|
|
|
|
# nchi iliyopo magharibi na kusini
|
|
|
|
Hii ina maana ya nchi inayozunguka ziwa la Galilaya. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.
|