forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
546 B
Markdown
12 lines
546 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kufafanua kabila la Lawi, ambapo alianza kufanya katika 33:8.
|
|
|
|
# kwa maana alilinda neno lako
|
|
|
|
Hapa "neno" lina maana ya amri za Yahwe. "kwa maana walitii amri zako"
|
|
|
|
# alilinda ... kushika
|
|
|
|
Maneno haya yote ina maana ya kuangalia na kulinda. Mara kwa mara zilikuwa sitiari kwa "kutii", lakini hapa zinaweza kutafsiriwa kwa sababu zinamaana ya muda ambapo Walawi waliwaua watu waliokuwa wakiasi dhidi ya Yahwe.
|