forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
662 B
Markdown
24 lines
662 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anaendelea kutoa nukuu maneno ya Yahwe.
|
|
|
|
# Isingekuwa kwamba naogopa uchokozi wa adui
|
|
|
|
"Niliogopa uchokozi wa adui"
|
|
|
|
# uchokozi wa adui
|
|
|
|
Nomino hii inayojitegemea inaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "ya kwamba adui angenichokoza" au "ya kwamba adui angenifanya niwe na hasira"
|
|
|
|
# adui
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia kuhusu maadui wake kana kwamba walikuwa mtu mmoja. "adui wangu" au "maadui wangu"
|
|
|
|
# wangehukumu kimakosa
|
|
|
|
"hawakueleweka"
|
|
|
|
# Mkono wetu umeinuliwa
|
|
|
|
Hapa "mkono" inawakilisha nguvu na uwezo wa mtu. Kuinuliwa ni lahaja ya kumshinda adui. "Tumemshinda adui kwa sababu tuna nguvu zaidi"
|