forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Kumbukeni ... tafakari ... baba yako ... atakuonyesha ... wazee wako ... watakuambia
|
|
|
|
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# Kumbukeni
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "Kumbuka"
|
|
|
|
# siku zile za zamani
|
|
|
|
"siku za zamani". Musa ana maana ya kipindi ambapo mababu wa watu wa Israeli walikuwa hai.
|
|
|
|
# tafakari juu ya miaka mingi ya nyuma
|
|
|
|
Haya ni marudio ya kile ambacho Musa amemaliza kusema katika sehemu iliyopita. Musa anataka watu wa Israeli kulenga historia yao kama taifa.
|
|
|
|
# atakuonyesha
|
|
|
|
"atafanya iwe wazi kwako" au "atakuwezesha kuelewa"
|
|
|
|
# alipowapatia mataifa urithi wao
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "kuweka mataifa katika sehemu ambazo wangeishi". Maneno yanayofanana, "kuwapatia kama urithi," inajitokeza katika 4:21.
|
|
|
|
# na kuweka mipaka ya watu, na alipoimarisha idadi ya miungu yao
|
|
|
|
Mungu aliwapa kila kundi la watu, pamoja na miungu yao, eneo lake mwenyewe. Kwa njia hii, alipunguza ushawishi wa miungu ya kundi la watu.
|