forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.0 KiB
Markdown
24 lines
1.0 KiB
Markdown
# Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu
|
|
|
|
Hapa "macho" yanasisitiza ya kwamba Yahwe alitarajia wao kukumbuka ya kwamba walikiona. "Mmeona yote ambayo Yahwe alifanya ili kwamba muone na kukumbuka alichofanya"
|
|
|
|
# mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona
|
|
|
|
Hapa "macho" yanasisitiza ya kwamba Yahwe alitarajia wao kukumbuka ya kwamba walikiona. "mmeona wenyewe ya kwamba watu waliteseka vibaya"
|
|
|
|
# macho yako
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa
|
|
|
|
Maneno "ishara" na "miujiza" yote ina maana ya mapigo ambayo Yahwe alituma juu ya Misri. "na vitu vyote vyenye uwezo ambavyo Yahwe alifanya"
|
|
|
|
# Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia
|
|
|
|
Watu wana mioyo, macho, na masikio. Lugha hii inasema ya kwamba Yahwe hajawawezesha kuelewa kile walichokiona na kusikia kutoka kwa Yahwe, na kwa nini na namna gani wanapaswa kumtii"
|
|
|
|
# hajawapatia moyo wa kufahamu
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "kuwawezesha kuelewa"
|