forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
556 B
Markdown
16 lines
556 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja
|
|
|
|
# lakini kama
|
|
|
|
Hapa Musa aanza kuelezea laana watu watapata kama hawatatii.
|
|
|
|
# Sauti ya Yahwe Mungu wenu
|
|
|
|
Hapa maneno "sauti ya Yahwe"umaanisha kile Yahwe asemavyo. "nini Yahwe Mungu wenu anasema"
|
|
|
|
# basi laana hizi zote zitakuja kwako na kukupita
|
|
|
|
Musa aelezea laana kama mtu anavyowavamia kwa mshituko au kwa nafasi na kuwashika. "Yahwe atakulaani hivi katika njia ambazo kabisa zitakushangaza, na itakuwa kama hautatoroka akulaanipo"
|