forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
444 B
Markdown
20 lines
444 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# Utoapo mkopo wa aina yoyote kwa jirani yako
|
|
|
|
"Unapotoa mkpo wa kitu kwa jirani yako"
|
|
|
|
# kutafuta dhamana yake
|
|
|
|
"kuchukua dhamana yake"
|
|
|
|
# dhamana yake
|
|
|
|
Hii ni lugha nyingine ya "kile alichoahidi angefanya kutoa kama angeshindwa kulipa kile alichokopa"
|
|
|
|
# Utasimama nje
|
|
|
|
"unatakiwa kusubiri nje ya nyumba"
|