forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Kuwa mwangalifu ... makini katika kuchunguza ... Kumbukeni nini Yahwe Mungu wako
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli hapa kana kwamaba wao ni mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" na amri "kuwa mwangalifu" na "kumbukeni" ni katika umoja.
|
|
|
|
# Kuwa mwangalifu kuhusu kiini chochote cha ukoma
|
|
|
|
"kuwa makini iwapo utapata ukoma" au "Kuwa makini kama utakuwa na ukoma"
|
|
|
|
# kila agizo linalopewa kwako ambalo makuhani, Walawi, wanakufundisha
|
|
|
|
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "maagizo yote ambayo nimekupatia na ambayo makuhani, ambao ni Walawi, wanakufundisha kufanya"
|
|
|
|
# wanakufundisha ... utekeleze ... ulipokuwa ukitoka
|
|
|
|
Musa hapa anazungumza na Waisraeli kama kikundi kwa hiyo maneno "ukitoka" ni katika wingi.
|
|
|
|
# kama nilivyowaamuru, ili utekeleze
|
|
|
|
"unapaswa kuhakikisha ya kwamba unafanya kama nilivyowaamuru wao"
|
|
|
|
# nilivyowaamuru
|
|
|
|
Neno la "wao" lina maana ya makuhani, ambao ni makuhani.
|
|
|
|
# Kumbukeni
|
|
|
|
Hii ni lahaja. "Kumbuka"
|
|
|
|
# ulipokuwa ukitoka Misri
|
|
|
|
"katika kipindi ambacho ulikuwa unaondoka Misri"
|