forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
284 B
Markdown
12 lines
284 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# Iwapo mwanamume kakutwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kama mtu anamkuta mwanamume"
|
|
|
|
# anyi mtakuwa mmeondoa
|
|
|
|
"kwa njia hii utakuwa umetoa"
|