forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
466 B
Markdown
16 lines
466 B
Markdown
# Taarifaya Jumla:
|
|
|
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo maneno "yako" hapa ni katika umoja.
|
|
|
|
# kitalu kwa ajili ya paa yako
|
|
|
|
uzio ulio chini ukizunguka ukingo wa paa ili watu wasianguke kutoka kwenye paa.
|
|
|
|
# ili usilete damu juu ya nyumba yako
|
|
|
|
Damu ni alama ya kifo. "ili kwamba isiwe kosa ya nyumba yako iwapo mtu atakufa"
|
|
|
|
# mtu akianguka kutoka pale
|
|
|
|
"kama mtu yeyote ataanguka kutoka kwenye paa kwa sababu haiukuweka kitalu"
|