forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
967 B
Markdown
36 lines
967 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Wakati Yahwe Mungu wenu huyapunguza mataifa
|
|
|
|
Yahwe kuwaharibu watu wanaoishi Kanani husemwa kama wamepungunzwa, kama mmoja angewapungunza kwa vipande vya nguo au kupungunza tawi la mti
|
|
|
|
# mataifa
|
|
|
|
Hii uwakilisha makundi ya watu ambayo huishi huko Kanani.
|
|
|
|
# wale ambao nchi Yahwe Mungu wenu anawapa
|
|
|
|
"yale mataifa ambayo yalikuwa yanaishi katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa"
|
|
|
|
# kuja baada yao
|
|
|
|
"chukua nchi kutoka mataifa yale" au "miliki nchi baada ya yale mataifa yaliyoenda"
|
|
|
|
# chagua miji mitatu
|
|
|
|
"chagua miji 3"
|
|
|
|
# Unapaswa kujenga barabara
|
|
|
|
Walikuwa wanajenga barabara ili kwamba iwe rahisi kwa watu kusafiri kwa miji hii.
|
|
|
|
# gawa mipaka ya ardhi yako kwa sehemu tatu
|
|
|
|
Ina maanisha kwamba moja ya miji waliochagua unapaswa kuwa kila sehemu ya nchi.
|
|
|
|
# nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anasababisha ninyi kurithi
|
|
|
|
Yahwe atoa nchi kwa watu wa Israeli husemwa kama watu walikuwa wanarithi nchi.
|