forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
521 B
Markdown
16 lines
521 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# mwezi wa Abibu
|
|
|
|
Huu ni mwezi wa kwanzza wa kalenda ya Kiebrania. Inaonyesha wakati Mungu aliwatoa watu wa Israeli toka Misri. Ni wakati wa sehemu ya mwisho wa mwezi wa tatu na sehemu ya kwanza ya mwezi wa nne kwa kalenda ya Magharibi.
|
|
|
|
# ishike pasaka
|
|
|
|
Inamaanisha kwa "kushika pasaka" ambayo walikuwa wanasherehekea na kula chakula cha pasaka.
|
|
|
|
# utatoa dhabihu ya pasaka
|
|
|
|
Hapa "Pasaka" uwakilisha mnyama ambaye anatolewa dhabihu kwa ajili ya sherehe.
|