forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
589 B
Markdown
24 lines
589 B
Markdown
# Kama kuna mtu maskini
|
|
|
|
Hapa "mtu" umaanisha mtu kwa ujumla.
|
|
|
|
# moja wa ndugu zenu
|
|
|
|
"mmoja wa Waisraeli wenzako"
|
|
|
|
# ndani ya malango yako
|
|
|
|
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima.
|
|
|
|
# haupaswi kuufanya mgumu moyo wako
|
|
|
|
Kuwa mkaidi husemwa kama mtu huyo alifanya mgumu moyo wao.
|
|
|
|
# wala usifungi mkono wako kutoa kwa ndugu yako masikini.
|
|
|
|
Mtu ambaye akataa kuto kwa mtu maskini husemwa kama anafunga mkono wake kwamba mtu masikini hawezi kupata chochote toka kwake.
|
|
|
|
# lakini unapaswa kwa uhakika kuufungua mkono wako kwake
|
|
|
|
Mtu anamsaidia mtu masikini husemwa kama alifungua mkono wake kwake.
|