forked from WA-Catalog/sw_tn
589 B
589 B
Kama kuna mtu maskini
Hapa "mtu" umaanisha mtu kwa ujumla.
moja wa ndugu zenu
"mmoja wa Waisraeli wenzako"
ndani ya malango yako
Hapa "malango" uwakilisha mji mzima.
haupaswi kuufanya mgumu moyo wako
Kuwa mkaidi husemwa kama mtu huyo alifanya mgumu moyo wao.
wala usifungi mkono wako kutoa kwa ndugu yako masikini.
Mtu ambaye akataa kuto kwa mtu maskini husemwa kama anafunga mkono wake kwamba mtu masikini hawezi kupata chochote toka kwake.
lakini unapaswa kwa uhakika kuufungua mkono wako kwake
Mtu anamsaidia mtu masikini husemwa kama alifungua mkono wake kwake.