forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
645 B
Markdown
24 lines
645 B
Markdown
# korongo...kongoti, hudihudi
|
|
|
|
Hizi ni aina za ndege ambao hula wanyama wadogo na mijusi.
|
|
|
|
# popo
|
|
|
|
mnyama aliye na mabawa na mwili wa manyoya ambao umeamka hasa usiku na hula wadudu na panya.
|
|
|
|
# vitu vyote vilivyo na mabawa, vyema
|
|
|
|
Hii umaanisha wadudu wote warukao ambao utembea kwa makundi makubwa.
|
|
|
|
# wao ni najisi kwenu
|
|
|
|
Wanyama ambao Mungu usema hawafai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio najisi kimwili.
|
|
|
|
# hawapaswi kuliwa
|
|
|
|
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "haupaswi kuwala"
|
|
|
|
# vitu vyote visafi virukavyo
|
|
|
|
Wanyama ambayo Mungu husema wanafaa kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio safi kimwili.
|