forked from WA-Catalog/sw_tn
645 B
645 B
korongo...kongoti, hudihudi
Hizi ni aina za ndege ambao hula wanyama wadogo na mijusi.
popo
mnyama aliye na mabawa na mwili wa manyoya ambao umeamka hasa usiku na hula wadudu na panya.
vitu vyote vilivyo na mabawa, vyema
Hii umaanisha wadudu wote warukao ambao utembea kwa makundi makubwa.
wao ni najisi kwenu
Wanyama ambao Mungu usema hawafai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio najisi kimwili.
hawapaswi kuliwa
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "haupaswi kuwala"
vitu vyote visafi virukavyo
Wanyama ambayo Mungu husema wanafaa kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama wanyama walio safi kimwili.