forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
438 B
Markdown
20 lines
438 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Kwa vitu hivi ambavyo viko kwenye maji mnaweza kula
|
|
|
|
"Mnaweza kula aina hii ya wanyama ambayo huishia kwenye maji"
|
|
|
|
# mapesi
|
|
|
|
mapesi, sehemu tambarare ambayo samaki hutumia kwenda kupitia maji
|
|
|
|
# magamba
|
|
|
|
sahani ndogo zinazofunika mwili wa samaki
|
|
|
|
# wao ni najisi kwa ajili yenu
|
|
|
|
Kitu Yahwe usema hakifai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili.
|