forked from WA-Catalog/sw_tn
438 B
438 B
Habari ya jumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
Kwa vitu hivi ambavyo viko kwenye maji mnaweza kula
"Mnaweza kula aina hii ya wanyama ambayo huishia kwenye maji"
mapesi
mapesi, sehemu tambarare ambayo samaki hutumia kwenda kupitia maji
magamba
sahani ndogo zinazofunika mwili wa samaki
wao ni najisi kwa ajili yenu
Kitu Yahwe usema hakifai kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili.