forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
# hukataa mataifa
|
|
|
|
Yahwe kuwaharibu makundi ya watu huko Kanani huzungumza kama alikuwa akiwakata, kama mmoja angeweza kukata kwa vipande ngua au kukata tawi toka kwenye mti.
|
|
|
|
# mataifa
|
|
|
|
Hapa "mataifa" uwakilisha watu kuishi huko Kanani.
|
|
|
|
# wakati unapoenda kuwaondoa, na kuwaondoa
|
|
|
|
"wakati mnachukua vyote toka kwao"
|
|
|
|
# uwa makini mwenywe
|
|
|
|
"uwe mwangalifu"
|
|
|
|
# kwamba hujaingizwa katika kufuata...waliingia ndani ya kuchunguza miungu yao, kuuliza
|
|
|
|
Mtu kujifunza kuhusu na kuabudu miungu mingine huzungumzwa kama wameshikwa mtego wa mawindo. Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji.
|
|
|
|
# si kuingizwa ndani ya kufuata
|
|
|
|
Waisraeli kuabudu sanamu kama makundi ya watu Kanani kuabudu sanamu huzungumzwa kama Waisraeli walikuwa wanafuata nyuma ya makundi mengine ya watu.
|
|
|
|
# baada ya kuharibiwa toka mbele yako
|
|
|
|
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "baada Yahwe awaharibu mbele yako"
|
|
|
|
# katika kuuliza, "mataifa haya yanaabudu miungu yao? nitafanya hivyo'
|
|
|
|
Hii nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu ambayo si ya moja kwa moja.
|