forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
733 B
Markdown
24 lines
733 B
Markdown
# Hata hivyo, unaweza kuua na kula nyama ndani ya milango yako yote
|
|
|
|
Watu wataweza peke kuua wanyama kama dhabihu katika eneo ambalo Yahwe atachagua. Wangeweza kuua wanyama kwa ajili ya chakula popote wangetaka. Maana kamili ya maelezo haya yanaweza kufanywa wazi.
|
|
|
|
# ndani ya malango yako
|
|
|
|
Hapa "malango" uwakilisha mji wote.
|
|
|
|
# si mfsafi...watu
|
|
|
|
Watu ambao hapokelewi kwa makusudi ya Mungu huzungumzwa kama mtu ambaye si msafi.
|
|
|
|
# watu safi
|
|
|
|
Mtu ambaye anapokelewa kwa makusudi ya Mungu huzungumzwa kama mtu ambaye ni msafi.
|
|
|
|
# kulungu na paa
|
|
|
|
Hawa ni wanyama wa mwitu wenye miguu mrefu mwembamba ambayo inaweza kukimbia haraka
|
|
|
|
# Lakini hautakula damu
|
|
|
|
Damu uwakilisha maisha na Mungu hakuruhusu watu kula damu sambamba na nyama.
|